Duuh Kweli Millard Ayo Katoka Mbali...Nani Anakumbuka Hii Interview alifanya na Mr Blue Akimuhoji Baada ya Taarifa ya Kufariki kwa Mr. Blue Kipindi Hicho
Mr.
Blue akiwa kwenye mahojiano na mtangazaji wa Radio One wa kipindi cha
Milazo 101 Millard Ayo......katika mahojiano hayo Mr. Blue alisema kuwa
yeye ni mzima wa afya na anaendelea na mipango yake ya maisha kama
kawaida, ikiwa
ni pamoja na kusoma kozi za Kiingereza za Kifaransa ili awe wa
kimataifa zaidi katika ulimwengu wa sasa ambao ni kijiji kimoja, pia Mr
Blue alisisitiza kumalizia nyumba yake ambayo anajenga huko maeneo ya
Tabata na hatimaye aweze kuishi pamoja na mama yake ambaye anampenda
sana. So Mr Blue ni Mzima wa Afya
No comments:
Post a Comment