Mtuhumiwa
aliyekojoa mahakama ya Mwanzo ya Mazimbu Morogoro Manfred Adam muda
mfupi baada ya kesi yake namba 322 ya mwaka 2013 kuahirishwa amehukumi
kwenda jela miaka 2 kwa kosa hilo la kumwaga kojo mahakamani.
Mbali
na kumwaga kujisaidia pia mtuhumiwa huyo alifanya fujo mahakamani hapo
zilizosababisha meza kadhaa za mahakama hiyo kuvunjika.
Baada ya
kufanya vurugu hizo askari walimkamata na kumrudisha kizimbani ambapo
alihukumia kwenda jela miaka 2 kwa kosa hilo huku kesi yake namba 322
inayosikilizwa na hakimu Alisile Mwankejela ikiendela septemba 24.
No comments:
Post a Comment