Msanii
wa kike kutoka Tanzania mwenye uwezo mkubwa wa kufanya muziki wowote
'Shaa' ametia wino kwenye mkataba wa miezi sita na Saidi Fella kupitia
Mkubwa Na Wanawe. Saidi Fella amesema kuwa mkataba huu ni wa muda mfupi
na watafanya kazi tofauti na Shaa sababu anauwezo mkubwa wa kuimba na
kufundisha muziki.
Saidi
Fella amesema wamefanya mazungumzo na Aliyekuwa manager wa Shaa 'Master
J' na wamekubaliana kuwa atafanya kazi na mkubwa na wanawe kwa misingi
yao na baraka zote wamepewa.
Bab
Tale amekuwa akifanya kazi na Shaa kwa muda sasa na kuhamia kwa Said
Fella kuta msaidi zaidi Shaa kuteka soko la nyumbani zaidi. Shaa amekuwa
moja ya wasanii Kutoka Tanzania mwenye mashabiki wengi nje ya nchi
yake.
Awali
Shaa aliwahi kufanya kasimamiwa na Ay Na Master J. I Hope hizi ngoma
mbili kutoka kwa Shaa zitatisha sana hapa Tanzania, Moja amefanya na At
na Nyingine Na Rapper Shetta.
Shaa amesema haya ni maamuzi mazuri na yataongeza sana mashabiki wa muziki wake Nyumbani.
No comments:
Post a Comment