October 13, 2013
EXCLUSIVEE:::Check Picha za Kwa Pamoja Penny wa Diamond aamua Kumpiku na Kumkomoa Wema Sepetu kwa Kutoka na Mshkaji Aliyekuwa Mpenzi wa Wema Baada ya Kuachwa Tuu na Diamond Platnum..FANYENI YENU HONGKONG YEYE ANAFANYA YAKE TANZANIA
Raheeem akiwa kwenye pozi na Mwanadada Penny
Ama Kweli Mapenzi Kizunguzungu na Ukuyafuatilia Unaweza Ukazimia.Mapenzi ni kama Mchezo wa Karata Ukukosea Kwa Mastaa anakupiku Mwenzako.Hii ni Baada ya Mwanadada Peeny Kuoneakana na Mshakaji ambaye Tulianza Kumuongelea Humu Humu "Raheem Da Prince" Mshkaji na Brothermen aliyemaliza Chuo Kikuu Pale University Of Dar-Es-Salam.Check Picha Yao kwa Pamoja When You Me I Do You
Raheem Akiwa na Wema Sepetu Enzi Hizo Baada Tuu ya Kuachwa na Diamond
No comments:
Post a Comment