Shilole kama kawaida
Chege na Temba
Godzilla…
Young Killer Mwanza Mwanza
Mr Blue
Ay
J Martins
wa Nigeria nae alikuwepo kufanya showa mbapo kama ilivyotekea kwa show
yake ya kwanza ya Fiesta pale 96.0 Tanga, J aligawa zawadi kwa fans
aliowaita yeye mwenyewe kwenye stage…. Tanga aligawa cheni pamoja na
pesa na Moshi kagawa saa na pesa kwa mashabiki wawili tofauti.
Weusi kwenye stage
Hii picha ya juu na ya chini ni shangwe walilopigiwa Weusi wakati wakiwa kwenye stage
Rich Mavoco
Jambo Squad… Mamong’o
Show ilihostiwa na B12 na Dj Fetty kutoka XXL ya Clouds FM.
Ney wa Mitego
Linah Sanga…
Christian Bella…
Menina akiwa backstage baada ya kufanya show…
Ally Nipishe
No comments:
Post a Comment