Usiku wa kuamkia leo ambapo ndio anakumbuka siku yake yakuzaliwa
mshiriki wa Big Brother The Chase kutoka Tanzania AMMY NANDO alikuwa
ameanza kusherehekea siku hii muhimu kwake akiwa na marafiki zake
aliowaalika kwenye mjengo mmoja mkubwa hivi uliopo maeneo ya Mikocheni
B. Pia Nando aliwaalika washiki wenzake wawili ambao walikuwa wote
kwenye jumba hilo la Big Brother na si wengine ni BIMP
na BEVERLY
Mwenye njano tshirt ni Beverly, Nando and Bimp hapa ndio walikuwa wameingia kutokea Airport
No comments:
Post a Comment