Hii Balaa! Polisi wageuka waandishi na Kuanza kumpiga Rais JK picha na kusahau kumlinda.
Askari polisi
(kulia)ambao wamepelekwa katika uwanja wa Nduli Iringa kwa
ajili ya usalama wa rais Jakaya Kikwete wakijifanya kazi
ya kupiga picha kwa camera na simu zao za mkononi kwa ajili
ya matumizi binafsi na kuacha kazi iliyowapeleka uwanjani hapo na kufanya
kazi ya ulinzi wa Rais jambo ambalo ni hatari zaidi na kuna haja na jeshi la
polisi kama chombo cha usalama wa rais wetu kulitazama hili kwani kama
litaachiwa yale yaliyotokea uwanja wa samora tarehe 14 mwezi huu
wakati wa kuzima mwenge kwa kijana asiyefahamika kutaka
kuuvamia mwenge mbele ya rais litajirudia katika mazingira kama haya.
No comments:
Post a Comment