Ikiwa ni wiki chache toka kesi ya video vixen Agnes Gerald a.k.a
Masogange ya kutuhumiwa kusafirisha dawa za kulevya kuisha kwa kulipa
faini nchini Afrika Kusini na kuwa mtu huru, hatimaye jana Jumanne
amerejea nyumbani Tanzania.
Kupitia Instagram jana Agnes alipost picha (hapo juu) akiwa uwanja wa ndege na kuandika “am cmng homeeeeeeeee”.