Kwa Hii Picha ya Adamu Mchomvu a.k.a Baba Jonii Tunaweza Sema Karukwa na Akiri
Kupitia
Account yake ya mtandao wa
kijamii wa Instagram Mtangazaji wa Clouds Fm Adam amepost picha hii .Ni
picha ambayo imezua gumzo sana miongoni mwa mashabiki wake...
Wapo wanaohoji UTIMAMU wa akili yake kwa kuweka picha kama hiyo huku wengine wakidai ni bangi zinamsumbua.....
No comments:
Post a Comment