Huyu ndiye chalii wa nguli wa muziki wa Hip Hop na member wa crew ya Watengwa ya jijini A-Town Jacob Makalla a.k.a JCB.
JCB amekuwa akitumia muda wake mwingi kwa sasa kuwa na familia zaidi
na kufanya mambo mengi kwa ajili ya kuihudumia
familia yake kikamilifu.
No comments:
Post a Comment