Huyo ni mwanadada Maheeda kutoka nchini Nigeria, amefunguka na kusema anachoshwa na Tabia ya Mumewe huyo kuwa busy zaidi na kazi na kumsahau yeye mkewe, akaongeza ya kwamba huyo mwanaume huwa na tabia hata ya kuchagua kunywa kahawa na kumsusa binti huyo ambaye binafsi anajikubali ana mvuto.
No comments:
Post a Comment