Mcheck Wastara Juma Sajuki alivyokula Bata Ndani ya club Maisha
Juzi kati Wastara Juma Sajuki aliamua kujifurahisha kwa kwenda club
Maisha akiwa na marafiki zake akiwemo Salma Jabu Nisha ambaye siku hizi
wapo karibu sana na pia walikuwa na kaka wa tumbo moja na Wastara kama
baadhi ya picha zinavyoonekana hapo chini..........
No comments:
Post a Comment