Mtoto wa Nyoka Ni Nyoka Tazama "Swaga" za mtoto wa Wizkid.Kama Vile Mtu Mzima Kumbe Ana Miaka Miwili Tuu
Dogo
wa kiume huyo na ndo kwanza ana miaka 2 lakini ukimcheki unamwona ni
matawi mengine kama alivyo baba yake. Picha hizo zimewekwa na mama yake
Shola Ogudugu katika akaunt yake ya Instagram.
No comments:
Post a Comment