Akizungumza
na paparazi wetu siku chache baada ya kurudi Bongo, Wastara alisema
aliumia wakati akifanya mazoezi ya mguu mpya aliowekewa ambapo kwa sasa
anaendelea kuuguza jeraha hilo na amerudi mara moja kwa ajili ya Sikukuu
ya Idd, ikimalizika atarejea tena nchini humo kwa ajili ya matibabu
zaidi.
“Nimeshindwa kula sikukuu mbali na watoto wangu ndiyo maana nikaja mara moja japokuwa siko vizuri kwa sababu niliumia kwenye mazoezi ya kutumia mguu mpya huko Nairobi na sasa nauguza kidonda lakini baada ya hapo nitarudi tena Nairobi kwa ajili ya matibabu,” alisema Wastara.
“Nimeshindwa kula sikukuu mbali na watoto wangu ndiyo maana nikaja mara moja japokuwa siko vizuri kwa sababu niliumia kwenye mazoezi ya kutumia mguu mpya huko Nairobi na sasa nauguza kidonda lakini baada ya hapo nitarudi tena Nairobi kwa ajili ya matibabu,” alisema Wastara.
From:GPL
No comments:
Post a Comment