Msanii Mkongwe Ray C Jana Atia Fola na Kuzua Gumzo Baada Ya Jana Kupanda Stejini Huku Tumbo Lote Likiwa Wazi Kutokana na Unene Uliopitiliza.Msanii Huyo alipanda Stejini na Msanii Mwenzake Recho wakijaribu Kutumbuiza Lakini Tatizo Likaja Ni Pumzi.Ray C Ana siku sana Hajaonekana Kwenye Show Lakini Jana Ilikuwa ni Mra yake ya Kwanza Kuperform kwenye Umati Mkubwa wa watu.
Je?Umeshajiuliza ni nini Hasa Kilichomnenepesha Ray 2 the C kiuno Bila Mfupa.KAUSHAAA!!
No comments:
Post a Comment