Blogger Widgets

October 27, 2013

Ray C azua Gumzo Jana Baada ya Kuishiwa Pumzi Mapema Kutokana na Unene wake wa Kupitiliza Huku Tumbo Lake Kubwa Likiwa Wazi

 
Msanii Mkongwe Ray C Jana Atia Fola na Kuzua Gumzo Baada  Ya Jana Kupanda Stejini Huku Tumbo Lote Likiwa Wazi  Kutokana na Unene Uliopitiliza.Msanii Huyo alipanda Stejini na Msanii Mwenzake Recho wakijaribu Kutumbuiza Lakini Tatizo Likaja Ni Pumzi.Ray C Ana siku sana Hajaonekana Kwenye Show Lakini Jana Ilikuwa ni Mra yake ya Kwanza Kuperform kwenye Umati Mkubwa wa watu.

Je?Umeshajiuliza  ni nini Hasa Kilichomnenepesha Ray 2 the C kiuno Bila Mfupa.KAUSHAAA!!

No comments:

Post a Comment