(Photo's) Show ya CHIDI BEENZ iliyofanyika usiku wa kuamka leo pale CLUB BILICANAS
Mtu mzima Chidi Beenz aka Chuma usiku wa kuamkia leo alionyesha kuwa
yeye bado ni chuma pale alipoingia kwenye steji ya Bilicanas na kukamua
nyimbo zake zile kali na zilizoshika kwa wananchi. Huku akionyesha
kufurahishwa na mashabiki wake waliofika alionekana mwenye furaha sana
wakati wote akiimba kwa steji. Wasanii wengine waliomsindikiza Chidi
Beenz ni pamoja na TID, Linex na wengine kibao.
No comments:
Post a Comment