Msanii anayetamba na kibao cha Tupogo alichomshirikisha J.Martins wa Nigeria, leo hii ametoa mchango ameungana na Flaviana
Matata Foundation (FMF) kutoa msaada katika shule ya Msingi Minazini
iliyopo Mwananyamala wilaya ya Kinondoni Dar-Es-Salaam, Msanii huyo
alitoa kiasi cha shilingi Elfu Kumi karibia kwa kila Mwanafunzi katika
shule hio, Tazama Picha za msanii huyo akitoa msaada wa hela kwa
wanafunzi hao hapa …
No comments:
Post a Comment