Shaymaa(alama) ni filamu mpya ambayo inatarajiwa kutikisa soko la filamu
ndani na nje ya Tanzania muda si mrefu. Filamu hii imewakutanisha
mastaa kama Wastara Juma Sajuki, Yusuph Mlela, Salma Jabu(Nisha) na
wasanii wengine wakali. Story imeandikwa na Wastara, script ya filamu
imeandikwa na kuongozwa na Leah Mwendamseke(Lamata). Usikose nakala yako
halisi ya filamu hii itakapoingia sokoni muda si mrefu. Angalia behind
the scenes ya filamu hii hapo chini.....................
No comments:
Post a Comment