BREAKING NEWS :Tazama Jinsi Professa Jay Alivyopata Ajari Kimara-Baruti, jijini Dar.NYANG'ANYANG'A
Taarifa
zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mwanamuziki wa Hip hop, Joseph Haule
'Profesa Jay' amepata ajali ya gari baada ya kuparamia kifusi akijaribu
kumkwepa mtu eneo la Kimara-Baruti, jijini Dar wakati akitoka nyumbani
kwake Mbezi! Prof hajaumia sana katika ajali hiyo japo gari lake
limeharibika.
No comments:
Post a Comment