Blogger Widgets

November 5, 2013

Camera Ilivyowanasa Hawa Wasanii wa Kike Wakiwa Kitanzani Wakishindana Kutingisha Makalio Makalio Huku wakiwa wamelala Kitandani

 
MWIGIZAJI Husna Idd ‘Sajent’ na mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse wamenaswa wakishindana ukubwa wa makalio yao wakiwa wamelala kitandani.

Tukio hilo lililowashangaza wadau, lilitokea hivi karibuni wakati mastaa hao walipokuwa wanarekodi moja ya vipindi vya washiriki wa Shindano la Vigori katika Hoteli ya Kebbys Mwenge jijini Dar.


“Jamani mimi ninalo (wowowo) kuliko wewe, ukubwa dawa mimi na wewe wapi kwa wapi Sajent?” alisikika Maimartha.



-GPL

No comments:

Post a Comment