Mrisho Ngasa vs Snura wakiwa kwenye picha mahaba, ambapo picha hizoi zimedaiwa kuzusha balaa kwa mke wa Ngasa kiasi cha kusababisha mtafaruku mkubwa kwenye familia hiyo. |
Hapa Mrisho
Ngasa akitaka kumla mate Snura
Mshambuliaji wa timu ya soko ya taifa,Taifa Stars na Mchezaji wa Yanga Mrisho Ngasa amenaswa live akiwa
na muimbaji wa majanga “Snura Anton Mushi”. Bado haijajulikana wazi
kama mastaa hao wawili wanauhusiano wa kimapenzi au labda wanaigiza
movie?Mastaa hao wawili walinaswa live wakiwa kwenye nyumba ya Snura Anton Mushi iliyopo Mwananyamala jijini Dar es Salaam
No comments:
Post a Comment