Maajabu:Sister Agalagala Chini wakati Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulharaman Kinana akiwahutubia wakazi wa Kijiji cha Kisangu wilayani Songea
Sista Maria Lumbangura wa Mtakatifu
Benedict akigalagala chini akiwa na mwanamke mwenzake wakati Katibu Mkuu
wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulharaman Kinana akiwahutubia wakazi
wa Kijiji cha Kisangu wilayani Songgea katika mkutano wa hadhara
uliofanyika LEO
No comments:
Post a Comment