Miongoni mwa wasanii kutoka nje waliopamba Tamasha la Fiest kwa pande za
Dar es salaam ni msanii Iyanya Mbuk, juz ilikuwa ni siku yake ya
kuzaliwa na katika kuonesha ni jinsi gani jamaa anapenda na kuhusudu
"mambo" flani basi keki yake ilikuwa ni ujumbe tosha.
No comments:
Post a Comment