The coko Master mwenyewe, Dbanj alivyofunika katika tamasha kubwa la cocacola 2013 lililofanyika jana.
Dbanji akiwa na Shabiki mwenye tabasamu la nguvu kuonyesha furaha ya kuonana nae uso kwa uso..
HAPA amewekwa kati na warembo...! Kweli kipaji raha sana.
No comments:
Post a Comment