Blogger Widgets

November 7, 2013

Ostaz Juma Na Musoma Aamua Kabisa Kuzama Kwenye HipHop Mcheck Hapa Akiwa na Nick Mbishi

 Boss mkurugenzi kitambi meneja wengi tunamjua kwa jina la OSTAZ JUMA NAMUSOMA mida hi yuko pale Tabata studio moja inayosimamiwa na Prod Mbezi na wanapika kitu kimoja matata kabisa. Tukipiga story kwa njia ya simu Ostaz Juma anasem hadi sasa ananyimbo 3 na huu wimbo wa 3 ambao anaufanya leo ameamua kumshirikisha NIKKI MBISHI kutoka Lunduno ili kudhihirisha kuwa bado anaipenda hip hop na hatouacha mziki wa Hip Hop ndio maana ameamua safari hii kufanya na Nikki. Wimbo huo umepewa jina la NAJITUMA sasa mimi na wewe hatujajua bado wanachojituma humo ndani so tuendelee kusubiria.

Pichani ni Ostaz Juma akiwa na Nikki wa Pili mchana wa leo walipokutana.

No comments:

Post a Comment