Diamond akiwa na bwana harusi Peter Okoye
Ilikuwa ni sherehe iliyohudhuriwa na watu mbalimbali maarufu wa Nigeria na Afrika.
“At @peterpsquare ‘s Wedding, with Kukere Master…… @iyanya #WCB #Wasafi for Life Darling…!”
Star wa bongo Diamond Platnumz ambaye yuko Nigeria ni miongoni mwa mastaa waliohudhuria sherehe hiyo iliyofanyika usiku wa jana. Diamond ameshare baadhi ya picha za sherehe hiyo katika akaunti yake ya Instagram.
Platnumz akiwa na Emmanuel Adebayor wa Togo “At four point hotel with my Brother @sea25 #Lagos #Nigeria”
“I Had to show them how we do……… Last nyt out with ma Brother Emmanuel Adebayo @sea25 and Kukere Master @iyanya #Lagos #Nigeria”
Mastaa wengine waliohudhuria sherehe hiyo ni pamoja na Iyanya, M.I, Banky W, Emmanuel Adebayor, Lynxx na wengine.
Tazama picha
Ukumbi ilipofanyikia sherehe hiyo
Peter na mkewe Lola
Banky W na Peter Okoye
Keki ya harusi
Peter ‘P-Square’ Okoye na mchezaji wa Togo Emmanuel Adebayor
Lynxxx, Peter na mkewe Lola pamoja na Banky W
From:Bongo5
No comments:
Post a Comment