Kwa mujibu wa mtandao wa GHAFLA wa Kenya, filamu hiyo inaweza kuachiwa hivi karibuni. Baby Madaha amekuwa katika headlines mfululizo kwa siku za karibuni kutokana na mambo mengi anayoyafanya, kitu kinachoashiria matunda ya mkataba wake na Candy n Candy.
Hivi karibuni msanii huyo amezindua begi ndogo za kubebea zawadi ‘gift bags’ zenye picha yake, na aliiambia tovuti ya TIMES FM kuwa mradi wake utakaofuata ana mpango wa kuja na vifaa vya watoto kama toys.
No comments:
Post a Comment