Kwanza kabisa namshukuru mungu mpaka hapa nilipofikia ni kwa rehema zake
yeye, pili mama angu kipenz amekuwa mchango mkubwa katika maisha yangu
kanipigania in every step mpaka leo hii bado ananipigania luv u mumy, my
dady R.I.P nina mengi ya kujivunia kwako ni mengi sana but still
nakupenda, rafik zang ndugu na jamaa nawapenda sana n u mean a lot to me
yan daah!! Inatosha
No comments:
Post a Comment