Blogger Widgets

December 30, 2013

Huyu Hapa Diamond Platnum Akiwa Lindi

Tamasha kubwa la kuchangia watoto yatima wa mkoa wa lindi kufanyika leo saa 8 mchana hadi 5 usiku katika uwanja wa ilulu likitumbuizwa na msanii maarufu,Tanzania na Afrika Diamond Platinum Chini ya udhamini wa Mhe.  Bernard Membe, Mbunge wa Jimbo la Mtama, Lindi,  kwa kushirikiana Uratibu na  Abdulaziz video Recording

Kiingilio Ni Tsh 5000 kwa kila mmoja.Usikose nafasi hii Adimu...
Tarehe 31 mkesha wa mwaka mpya atakuwa Mtwara katika Uwanja wa Nangwanda kwa Udhamini Wa NAF BEACH Hotel na Makonde Pure Drinking Water.
Pichani Diamond akiwa Mtwara na Shahid Murji baada ya Mapokezi Airport Mtwara

No comments:

Post a Comment