Blogger Widgets

December 23, 2013

Huyu Ndio Msanii wa Tip Top Aliyekamatwa na Magunia 40 ya Mizigo ya Bangi Kibaha




Msanii anaejulikana kwa jina la deso hivi karibuni amekamatwa na gunia arobaini za bangi na mpaka sasa yupo mikononi mwa police katika kituo cha police kibaha na leo jumatatu anategemewa kufikishwa mahakani kujibu mashtaka hayo.
 akiongea na blog hii chanzo chetu cha habari kimesema mtuhumiwa alikutwa na vitu hivyo kwenye gari alipokuwa anajaribu kuzisafirisha kupeleka mkoani tanga

No comments:

Post a Comment