Sehemu Pekee Iliyotengwa South Afrika Kwa Ajiri ya Maziko ya The Late Mandela
Hili ni Banda linaloendelea kujengwa katika eneo la makazi ya Hayati Nelson Mandera kwa ajili ya
maandalizi ya shughuli za maziko yanayotarajia kufanyika mwishoni mwa
wiki hii, ambapo zaidi ya viongozi 70 wa mataifa makubwa, kutoka pande
zote za dunia wanatarajia kuhudhuria maziko hayo
No comments:
Post a Comment