.
Shilole ambaye ni star wa filamu Swahiliwood na pia mwanamuziki
anayefanya vizuri kwasasa katika muziki wa mduara ameonyesha mafanikio
yake ya awali kupitia kazi zake kwa kujenga nyumba maeneo ya Kimara
jijini Dar es salaam ambayo ipo katika hatua za mwisho kukanilika.
Shilole amepost picha ya nyumba yake hiyo mpya kupitia mtandao mmoja wa
kijamii na kuandika "Mungu nisaidie nimalize hii kitu ili watoto wangu
wasije kupata tabu"
Big up Shilole.........maisha ni nyumba na sio gari..!!
Nyumba yake ndiyo hii.....................
Big up Shilole.........maisha ni nyumba na sio gari..!!
Nyumba yake ndiyo hii.....................
No comments:
Post a Comment