|
Pichani ni mwanamke huyo wa Kitanzania (akiwa amefunikwa uso)
aliyekamatwa na kilo 1.1 za heroin huko Macau. Hapo amepigwa picha na
vidonge vyake kwenye press conference huko Macau, Disemba 19, 2013.
|
Mwanamke
wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kilo 1.1 za dawa za
kulevya aina ya heroin huko Macao. Dawa hizo zilikutwa tumboni mwake
baada ya kushtukiwa na kufanyiwa X-ray ambapo alikutwa na jumla ya
vidonge 66 vyenye thamani ya dola za Kimarekani 137,720.
Mwanamke huyo alikuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao Jumanne
iliyopita. Aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni
mji wa jimbo la Guangdong huko China.
|
Polisi wakichunguza vidonge ambavyo huyu mrembo alikuwa amevimeza. |
Ok kwa wale walokuwa wakilalamika 'habari nusu
nusu' huyo binti anaitwa Jackie Cliff. ..appeared in Diamondz Nataka
Kulewa. Was a runners up or something kwenye Miss Tz huko nyuma.
|
Waandishi wa habari wakipiga picha vidonge vya heroin alivyokamatwa navyo mremboi huyu wa Kitanzania.
Jackie Cliff ambaye ni video queen wa Bongo anadaiwa
kukamatwa na dawa za kulevya nchini China. Star mmoja nchini aliyekataa
kutajwa jina lake aliutonya mtandao wa swahiliworldplanet bila kufafanua zaidi kwa kusema
kuwa Jackie amekamatwa na madawa ya kulevya China:
"Jackie Cliff
amekamatwa na unga China". alisema star huyo huku akitutumia na picha za
mwanamke aliyefungwa kitambaa usoni baada ya kukamatwa na dawa hizo na
mwanamke huyo anadaiwa ni Jackie Cliff. Angalia picha hizo hapo
chini..........
Hata hivyo baadhi ya mitandao jana iliweka habari za mwanamke mmoja wa
kitanzania kukamatwa na dawa za kulevya huko china lakini bado habari
hizo hazikubainisha mwanamke huyo ni nani na usiku huu ndiyo ikasemekana
ni Jackie Cliff. Habari hiyo inasomek kama ifuatavyo:
"Mwanamke wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kilo 1.1 za
dawa za kulevya aina ya heroin huko Macao. Dawa hizo zilikutwa tumboni
mwake baada ya kushtukiwa na kufanyiwa X-ray ambapo alikutwa na jumla ya
vidonge 66 vyenye thamani ya dola za Kimarekani 137,720.
"Mwanamke huyo alikuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao Jumanne
iliyopita. Aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni
mji wa jimbo la Guangdong huko Chima.
Pichani ni mwanamke huyo wa Kitanzania (akiwa amefunikwa uso)
aliyekamatwa na kilo 1.1 za heroin huko Macau. Hapo amepigwa picha na
vidonge vyake kwenye press conference huko Macau, Disemba 19, 2013.
| | | | | | |
No comments:
Post a Comment