"Siku week mwezi hatimae mwaka unaingia tokea unikimbie mikononi mwangu,mwetu milele nitakukumbuka daima nahisi uko sehemu nzuri unanisubiri
Tarehe 2.1.2014 my blood anatimiza mwaka tokea atutoke katika dunia,nawaomba tuwe pamoja katika duwa itakayofanyika mkoani songea kokote ukipo inua mkono kumuombea juma kilowoko a.k.a sajuki mboni ya wastara"
No comments:
Post a Comment