Picha ya nusu utupu ya
Msanii Kajala Masanja aliyoiweka hivi karibuni katika mitandao ya
kijamii yazua utata na maneno mengi yakiibuka juu yake, akiongea na
Swahilitz mmoja wa mashabiki wa Kajala alifunguka na kusema "Kusema
ukweli Kajala kajishushia heshima, ndiyo picha gani
aliyoweka mtandaoni, mimi kiukweli nampenda sana ila kwa hilo kaniboa" alimaliza kwakusema shabiki huyo.
aliyoweka mtandaoni, mimi kiukweli nampenda sana ila kwa hilo kaniboa" alimaliza kwakusema shabiki huyo.
Picha ya nusu utupu ya Kajala iliyozua gumzo |
Hata hivyo katika
kufatilia suala hilo Swahilitz ilipiga story na shabiki mwingine ambaye
naye alisema "Kajala sijui anatafuta soko la wanaume?? hii siyo picha
kabisa ya kuweka mtandaoni jamani" alifunguka shabiki huyo.
Juhudi zetu za kumtafuta Kajala afunguke juu ya hili suala zinaendelea na pindi zikikamilia tutawafahamisha kasemaje.
Juhudi zetu za kumtafuta Kajala afunguke juu ya hili suala zinaendelea na pindi zikikamilia tutawafahamisha kasemaje.
No comments:
Post a Comment