Blogger Widgets

January 26, 2014

Story ianyozungumziwa Toka Jana Ni Kuhusu Hii Issue ya Hamisa Mobeto alivyoingia Kwenye Hii Aibu

  Report Iliyoanza ni Kuhusu Hamisa Mobeto anauhusiano wa kimapenzi na Msanii Diamond Platnumz au Sukari ya warembo kama yeye mwenyewe anavyojiita.  Yameibuka mengi  mengi  ambayo wengi wetu tulikuwa hatuyafahamu na katika hayo mengi ni hayo hapo chini katika picha

Nanukuu maneno hayo katika hiyo picha "Dah hamisaaaa Mtoto balaa wewe ukawachanganya kama karanga .... Ulianza na kipindi Hicho domo hakua star kama Romy Jones @romyjons basi huyo ukaenda kwa Romy domo akamind kutoka hapo kwa Romy ukaenda kwa petit man mutu mufupi ukampa penzi ukamkimbia ukahamia tiptop kwa tunda man dah wee ni noma sana ... Hadi Leo domo na petit hawaelewani sababu yako maana petit anampenda hamisa balaa... Kajala na wewe ulivyomfanya petit sio fresh mwenzio alikua anafunga safari kila Leo kuja kukuona Leo hii umempiga kibuti dah una hatari wewe petit analia njiani jamani amekosa raha .. Ma wewe petit kilichokufanya kumtenda recho ni nini maana alikupa mapenzi yote ukaona si kitu recho pole mwaya maana hadi ukamuandikia nyimbo petiii jamani ile mwali kigego ni nyimbo Ya petit man ... Kajala vipi ushapona maana ulipigwa bomba la kuua fangus ulikua ukikaa Maji yanatoka jamani ilikua aibu kwa mrembo kama wewe nahisi huko china watakutibu maana huku Bongo ilishindikana kabisa ....basi huyo bwana wa dacutee akupe akununulie na wewe gari tumechoka kubanana kwenye bajaj ......tunaendelea kusubiria movie maana china kwa movie kiboko...."

No comments:

Post a Comment