Alhamisi hii The Mboni Show itakua na watangazaji maarufu wa sasa na wa
kitambo hapa nchini kwetu. Nini sababu ya kuwa kutanisha John Dilinga
na Millard Ayo? Ungana na Mboni wa the mboni show kufahamu mengi zaidi
kuhusu wawili hawa..
EATV saa 3 usiku kama kawaida.
No comments:
Post a Comment