Headline zilikuja kutengenezwa tena zikiwahusisha warembo hawa kuonekana wako na mtu mmoja ambapo magazeti mengi yaliandika mahusiano haya yaliyokua yakimhusu Diamond Platnumz kutoka na warembo hawa.
Kimepita kimya kirefu sana juu ya hawa watu wawili hadi usiku wa February 01 huko Arusha kwenye Tamasha la Divaz Night Endless Fame ambalo ndani yake kulikua na mastar kadhaa akiwemo Wema Sepetu,Aunt Ezekiel,Martin Kadinda,Kajala,Zamaradi Mketema,Chid Benzi,Mirror,Jordan na wengine kibao.
Wakati Madam Wema Sepetu akimwaga mauno kwenye jukwaa bila kutegemewa na mtu yoyote Jokate alipanda Jukwaani na kuanza kumtunza Wema pesa na wakati huo Wema alikua akicheza Wimbo wa Diamond My Number One ‘Ngololo’ ambapo Jokate aliungana na Wema kuucheza Wimbo huo.
....Wakiwa pamoja na Mirror tayari kwa ajili ya kwenda kwenye Show, klabu ya Triple A.
Wema Sepetu, Aunt Ezekiel na Kajala Masanja tayari kwa ajili ya kwenda ukumbini.
Kajala akipanda stejini.
Wema akipanda jukwaani huku akiacheza.
...Wakiwa katika picha ya pamoja.
..
.Wakicheza na Mirror.
Wema katika pozi.
Msanii Dyana Kimaro katika pozi.
Wema Sepetu pamoja na Meneja wake Martin Kadinda muda mfupi baada ya kuwasili jijini Arusha.
Wema Sepetu, Zamaradi na Martin Kadinda katika picha ya pozi.
No comments:
Post a Comment