Yule
bint wa mwanamuziki maarufu nchini Jeska Kikumbi King Kikii ameendelea
kujidhalilisha pamoja na kuidhalilisha familia yake baada ya kurusha
hewani tena picha zingine mpya zikimuonesha akiwa mtupu tena mtoni huko
Kijijini Mwanza.
Xdeejayz
kama kawaida yake imefanikiwa kunasa picha hizo toka kwenye accont ya
Facebook ya Jeska ambapo alikuwa ameziachia yeye mwenyewe na kuchukulia
kawaida sana.
Hata
hivyo kwa mujibu wa chanzo chetu picha hizo ambazo kama zinavyooneka
wamepiga kwa hiyari wao wenyewe wala si kulazimishwa au kupigwa bila
kujitambua la hasha na walidhamilia kufanya hivyo.
Jeska
ambae kwenye Account yake ya Facebook anatumia jina la King Kikii Dota
alizimwaga picha hizo ili zisambae makusudi" Hata hivyo hali halisi
wananchi wanaonekana kushangazwa na tukio hilo huku watoto wadogo nao
wakishuhudia video hiyo ya bure
Mtandao
huu ulifanya jitahada za kumtafuta msichana huyo kupitia simu yake ya
kiganjani lakini hakuweza kupatikana hadi habari hii inaruka hewani.
Xdeejayz
kushirikiana na watanzania wanaoitakia mema nchi tuna lani vikali
vitendo vya kuidhalilishaji vinavyofanywa na wasichana hao tena kwa
makusudi na tunasisitiza sisi kama chombo cha habari kuwa hali hiyo
haikubariki na inapaswa kupingwa kwa nguvu zote.
From:Xtreme
No comments:
Post a Comment