Msanii aliyewahi kufanya vizuri na wimbo Njia Panda, Pipi
Doreen, jana February 2, 2014 amefanikiwa kujifungua salama mtoto wa
pili wa kiume katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam. Jina la
mtoto huyo ni Brandon.
Huu ndo ujumbe aliombatanisha Pipi
Kupitia ukurasa wake wa Instagram na Facebook February 2 2014 pipi
amepost picha ya mtoto huyo ikiwa na ujumbe huu katika picha: Nina
furaha mpaka sijui nisemeje maana naweza nikaandika essay hapa lakini
kwa ufupi tu…namshukuru mungu kwa kunipa nguvu…uhai…na mume wangu
kipenzi kwa kunipa ujasiri wa kuleta jembe la pili…Asset kubwa kuliko
zote duniani asikwambie mtu!!! Welcome to the family baby Brandon !
No comments:
Post a Comment