AY akiwa na msanii mkongwe wa Nigeria, Femi Kuti
Diamond na D’Banj wakiwa studio nchini Afrika Kusini
Muimbaji huyo My Number One, Diamond alipost picha akiwa studio na D’Banj pamoja na wasanii wengine nchini Afrika Kusini, kuashiria kuwa mchakato wa kurekodi wimbo huo umeanza.
Jumanne hii wasanii hao walijumuika pamoja kwenye mkutano na waandishi wa habari
Kampeni
hiyo inawataka wananchi wa Afrika kuungana kwa pamoja kuwataka viongozi
wao kutimiza ahadi yao ya kuwekeza asilimia 10 ya bajeti za nchi kwenye
kilimo na kuwasaidia wakulima wadogo.
Mwana FA, AY na D’Banj
“Something VERY exciting happening in JHB today – @iamdbanj & 22 artists arriving for biggest music collab ever in Africa for #doagric,” wameandika One Campaign kwenye akaunti yao ya Twitter.
No comments:
Post a Comment