Blogger Widgets

February 22, 2014

Tazama Picha ya P funk Baada ya Kutoka Bungeni Dodoma ambako alienda pamoja na watu wengine kuhimiza kutambulika rasmi kwa shughuli za sanaa kwenye katiba mpya ya Tanzania na Kuamua Kupitia kwenye Kaburi la Marehemu Albert Mangwea

Majani akiwa kwenye kaburi la Ngwair
Producer wa Bongo Records, P-Funk Majani wiki hii amelitembelea kaburi la Ngwair mjini Morogoro.
Mtayarishaji huyo wa muziki alikuwa anatokea bungeni Dodoma ambako alienda pamoja na watu wengine kuhimiza kutambulika rasmi kwa shughuli za sanaa kwenye katiba mpya ya Tanzania.
“Visit Ngwair’s grave on my way back from Dodoma, it was very emotional,” aliandika Majani jana.

No comments:

Post a Comment