Blogger Widgets

March 10, 2014

Huyu Ndio Cathie Jung mwenye miaka 77 na ndiye mwanamke na ndiye mwanamke aliyevunja record ya kuwa na kiuno chembamba zaidi Duniani


Mwanzoni nilikuwa natia shaka juu ya hili mpaka nilipokuja kuona kuwa naye yumo miongoni mwa watu kwenye kitabu maarufu cha kumbukumbu za Guinness world.


Cathie Jung ana miaka 77 na ndiye mwanamke mwenye kiuno chembamba zaidi Duniani. Hakika hii inashangaza kimtindo.

Cheki picha zaidi hapo chini...


lla unadhani hii ni hali ya kawaidia au ni ugonjwa...? DC.

No comments:

Post a Comment