Aliyekuwa mpenzi wa rapper Lord Eyez, mwanamuziki Rehema Chalamila aka
Ray C amezungumzia kuhusu sakata la wizi linalomkabili rapper huyo
ambaye ni member wa group la Nako 2 Nako Soldiers.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram Ray C amefunguka kama ifuatavyo:
No comments:
Post a Comment