Blogger Widgets

March 8, 2014

victori Kimani Atoa Mpya Baada ya Kuvua Nguo ili kuchora tattoo na kuziweka picha kwenye mtandano.

9242ba26a51a11e3b9ca12035ea9adc9_7 
Victoria Kimani ameamua kujipamba na urembo wa Pwani kwa kujichora na tattoo za Henna. 
Na muimbaji huyo mrembo wa Kenya aliyetua Dar es Salaam wiki hii kung’arisha uzinduzi wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, ameamua kuyaonjesha macho ya followers wake wa Instagram jinsi urembo huo ulivyomtoa chicha, mashalaah.. Safisha macho kwa uumbaji huu wa Mola..
9242ba26a51a11e3b9ca12035ea9adc9_7
Victoria na Henna za mgongoni
448bbedca5d711e3aaf40a5186b325f0_8
a427a9bca51611e3aee912ce08225afa_7
Henna mapajani.. upo hapo?
ab9d99aaa51511e3979312177d5350d6_7
Wakati huo huo, Ki-Money ameendelea kufanya interview kwenye vituo mbalimbali vya radio nchini. Jana alihojiwa Clouds TV, kwenye XXL ya Clouds FM na Choice na leo alikuwa Times FM.
a5a766b6a53811e3889612fc080fa5c8_8
Queen Vee akiwa na watangazaji wa Clouds FM, B-Dozen, Adam Mchomvu na DJ Fetty
3a62c200a55211e3ab8c0e26c82a83f6_8
Victoria akiwa na watangazaji wa Choice FM, Vanessa Mdee na Mandingo

No comments:

Post a Comment