Picha hizo hapo chini ni legendary wa muziki wa kizazi kipya na mbunge
wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu kwenye tasnia ya
burudani nchini. Hapo akiwa na mzazi mwenzake
Faiza Ally ambaye ni
muigizaji wa filamu nchi akiwa tayari amecheza filamu na mastaa kama
Dr.Cheni. mtoto wao anaitwa Sasha.
Lovely family !
No comments:
Post a Comment