Baada
ya kuwa kimya katika akaunti yake ya instagram, Penny ambaye ni
mtangazaji wa kituo cha DTV kilichopo Dar, amerudi kwa kasi katika
mtandao huo baada ya kuachia picha yenye mitego ikionesha kitovu chake,
Sasa sijui ndio kutaka Tension kwa Watu au ndio nini Hii. Tazama hapo
chini picha hiyo.
No comments:
Post a Comment