Blogger Widgets

April 18, 2014

Tazama Picha za Penny zilizomake Headline kwa siku ya leo

 
Baada ya kuwa kimya katika akaunti yake ya instagram, Penny ambaye ni mtangazaji wa kituo cha DTV kilichopo Dar, amerudi kwa kasi katika mtandao huo baada ya kuachia picha yenye mitego ikionesha kitovu chake, Sasa sijui ndio kutaka Tension kwa Watu au ndio nini Hii. Tazama hapo chini picha hiyo.

No comments:

Post a Comment