Video Iliyo Make HeadLine Leo ni Hii NYANDU TOZI FT MR BLUE, IVA SON & USWEGE
Leo kupitia kipindi cha XXL on Clouds fm Rapper Nyandu Tozi wa B.O.B
Click ame achia Ngoma mpya inaitwa Mambo Mengine Baadae amemshirikisha
swahiba wake wa kitambo kutoka Micharazo Mr Blue pamoja na wasanii
wawili wapya kwenye game ya bongo flava Iva Son na Uswege, Nyandu pia
amerelease Video ya ngoma hiyo iliyofanywa na Nick Dizzo,
No comments:
Post a Comment