Nicki Minaji
kaingia kwenye utata na mashabiki wake wake kutokana na statement yake
aliyoitoa kutoka kwenye line ya mixtape ya Lil wayne.
Line Hiyo ilisema “I’m a Republican
voting for Mitt Romney/You lazy b*tches is f-ing up the economy.” Sentensi hiyo inayosadikiwa kumshushia Hadhi Obama
Pamoja na Hayo Nick minaji ni kama kapinga Kampeni ya
P.Didy yenye slogan ianyoitwa “Vote Or Die” anayompigie kampeni Bwana Obama.
Kutokana na verse hiyo Fans wa Nick Minaji hasa wanaotumia
mtandao wa Twitter wanadai hiyo ni dalili
ya Nick Minaji ku Fall dawn kwenye Game Hili!!!
No comments:
Post a Comment