Kwa mujibu wa habari ambazo tumezipata, tayari kazi ya upigaji picha za video zimekamilika ambapo kampuni ya ‘Kwetu Studio’ ndio iliyohusika kusababisha.
Cheki baadhi ya picha za utengenezaji wa video hiyo.
- Shilole
- Shilole akibebwa na Mo Racka
- Shilole akipiga busu na Mo Racka